9 Muvae viatu lakini musivae kanzu mbili.”
Vilevile musibebe mifuko, kanzu mbili, viatu wala fimbo, kwa sababu mutumishi anastahili kupewa posho lake.
Mimi ninawabatiza kwa maji kwa kuonyesha kwamba mumegeuka toka zambi zenu. Lakini yule atakayekuja nyuma yangu atawabatiza kwa Roho Mutakatifu na kwa moto. Yeye ni mwenye uwezo kunipita, nami sistahili hata kumuvua viatu.
Akawaambia tena: “Nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba, mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.
Akawaagiza: “Musibebe kitu chochote kwa safari yenu isipokuwa fimbo tu. Musibebe chakula, mufuko, wala feza ndani ya mikaba yenu.
Kisha malaika akamwambia: “Funga mukaba na uvae viatu vyako.” Petro akafanya vile, naye malaika akamwambia tena: “Vaa koti yako na kunifuata.”
na mukuwe na bidii ya kutangaza Habari Njema ya amani kama vile viatu munavyovaa.