54 Walipotoka ndani ya chombo, mara moja watu wakamutambua Yesu.
Yawe ni kikingio cha watu wanaoonewa; yeye ni kikingio katika nyakati za taabu.
Walipovuka ziwa, wakafika katika inchi ya Genezareti, wakaezeka chombo kwenye kivuko.
Basi wakaenda mbio wakipita katika inchi ile yote, wakaanza kumuletea wagonjwa wakibebwa juu ya vipoyi, wakamufikia Yesu popote waliposikia yuko.
Na kufuatana na jambo hilo, wagonjwa wengine waliokaa katika kisanga kile wakakuja, nao wakaponyeshwa vilevile.
Kitu ninachotaka tu, ni kumujua Kristo na uwezo wa ufufuko wake na kushirikiana naye katika mateso yake, nako kufa kwangu kufanane na kufa kwake.