Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kwa hiyo Yesu hakuweza kufanya muujiza wowote kule, isipokuwa aliweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache na kuwaponyesha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 6:5
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Harakisha! Kimbilia kule, nami sitafanya lolote mpaka utakapofika kule.” Hivyo muji ule ukaitwa Soari.


Yakobo akabaki peke yake. Kisha mutu mumoja akakuja, akapigana naye mpaka asubui.


Na hivi kwa sababu ya kutokuamini kwa watu hao, Yesu hakufanya miujiza mingi kule.


akamusihi sana, akisema: “Binti yangu mudogo yuko karibu kufa. Ninakuomba ukuje kwanza kwa kuweka mikono yako juu yake, kusudi apate kupona na kuishi!”


Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”


Baba ya Publio alikuwa amelala kwa ajili ya kuwezwa na ugonjwa wa homa na wa kuhara damu. Paulo akaenda kumwangalia, akamwombea na kuweka mikono juu yake, naye akapona.


Kwa maana sisi vilevile tumehubiriwa Habari Njema kama vile watu wale. Walisikia habari lakini haikuwafalia kitu, kwa maana wale walioisikia hawakuipokea kwa imani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ