Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini Yesu akawaambia: “Nabii hakosewi heshima fasi zote, isipokuwa tu katika muji wake, katikati ya wandugu zake na katika jamaa yake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 6:4
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo Yawe wa majeshi anasema hivi juu ya watu wa Anatoti ambao wanataka kuniua na kuniambia: Usitutabirie kwa jina la Yawe, kama si vile tutakuua.


Hata wandugu zako, jamaa yako mwenyewe, nao vilevile wanakudaganya; wanakukaripia waziwazi. Usiwaamini hata kidogo, ingawa wanakuambia maneno mazuri.


Na kwa hiyo akakuwa kikwazo kwao. Lakini Yesu akawaambia: “Nabii hakosewi heshima fasi zote, isipokuwa tu katika muji wake na katika jamaa yake.”


Yesu akatoka kule, akaenda katika muji wake wa kuzaliwa, nao wanafunzi wake wakamufuata.


Naye akaongeza kusema: “Kweli ninawaambia: hakuna nabii anayekubaliwa katika muji wake.


Yesu mwenyewe alikuwa ameshuhudia kwamba nabii haheshimiwi katika inchi yake mwenyewe,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ