Marko 6:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Wakati Yesu alipotoka ndani ya chombo, akaona kundi kubwa la watu, akawasikilia huruma, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasiokuwa na muchungaji. Basi akaanza kuwafundisha maneno mengi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |