Marko 6:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Siku ya Sabato ilipotimia, akaanza kufundisha katika nyumba ya kuabudia. Watu wengi waliomusikiliza, wakashangaa sana na kuulizana: “Huyu amepata maneno haya yote kutoka wapi? Ni hekima ya namna gani aliyopata? Ni kwa uwezo wa namna gani anafanya miujiza kama hii? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |