18 Yoane alikuwa amemwambia kwamba hana sheria ya kumwoa yule muke wa mudogo wake.
Lakini Mikaya akamujibu: “Kama vile Yawe anavyoishi, mimi nitasema tu yale Yawe atakayoniambia.”
Usilale na muke wa ndugu yako, huyo ni shemeki yako.
Kama mwanaume akimwoa muke wa ndugu yake, anamupatisha ndugu yake haya, huo ni uchafu; wote wawili watakufa bila watoto.
Wakamutemea mate, wakatwaa lile tete na kumupiga nalo juu ya kichwa.