Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Saa zote, usiku na muchana alitangatanga katikati ya makaburi na kwenye milima, akilalamika na kujiumizaumiza kwa mawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:5
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Manabii hao wakapiga kelele zaidi, wakajikatakata kwa visu na wembe, kufuatana na desturi yao, hata damu ikawatiririka.


Mara nyingi miguu yake ilifungwa vifungo vya chuma, nayo mikono yake na minyororo, lakini alikata minyororo ile na kuvunjavunja vile vifungo vya chuma. Hakuna mutu aliyekuwa na nguvu ya kumushinda.


Alipomwona Yesu kwa mbali, akaenda mbio na kumupigia magoti


Baba yenu ni Shetani, nanyi munataka kutimiza sawa vile huyo baba yenu anavyotamani. Yeye ni mwuaji siku zote, naye hajasimama katika ukweli, kwa sababu ndani yake hakuna ukweli. Wakati anaposema uongo, masemi yake yanatokana na tabia yake, kwa sababu yeye ni mwongo na baba ya uongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ