Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Akaingia ndani ya nyumba, akawaambia: “Kwa nini munafanya makelele na kulia? Mutoto hakukufa, lakini analala tu!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:39
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wengi wa wale ambao wamekwisha kufa, watafufuka; wengine watapata uzima wa milele, na wengine watapata haya na kuzarauliwa milele.


Halafu akasema: “Mutoke hapa. Binti huyu mudogo hakukufa, lakini analala tu.” Nao wakaanza kumuchekelea.


Walipofika kwa nyumba ya mukubwa Yairo, Yesu akakuta kuko makelele, nao watu wakilia na kulalamika sana.


Nao wakaanza kumuchekelea. Halafu Yesu akawaondosha wote inje, akawakamata wazazi wa yule mutoto na wanafunzi wake watatu, akaingia katika chumba pahali mutoto alipokuwa.


Paulo akashuka chini, akajilaza juu yake na kumukumbatia akasema: “Musilie kwa maana angali muzima!”


Na kwa sababu hii wengi kati yenu ni wagonjwa na wazaifu, na wengi wamekufa.


Yeye alikufa kwa ajili yetu, kusudi hata ikiwa tuko wazima au tumekufa, tupate kuishi pamoja naye wakati atakaporudia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ