Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Walipofika kwa nyumba ya mukubwa Yairo, Yesu akakuta kuko makelele, nao watu wakilia na kulalamika sana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:38
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

‘Tuliwapigia ngoma, lakini hamukucheza! Tuliimba wimbo wa kilio, lakini hamukulia!’


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mukubwa mumoja akafika, akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Binti yangu anakufa sasa hivi; lakini kuja, uweke mikono yako juu yake kusudi apate kufufuka.”


Halafu mukubwa mumoja wa nyumba ya kuabudia aliyeitwa Yairo, akafika pale. Alipomwona Yesu, akajitupa mbele yake,


Akaingia ndani ya nyumba, akawaambia: “Kwa nini munafanya makelele na kulia? Mutoto hakukufa, lakini analala tu!”


Mara moja Petro akaenda pamoja nao. Naye alipofika wakamupeleka ndani ya chumba cha gorofi. Wajane wote wakamuzunguka Petro, wakilia na kumwonyesha kanzu na nguo zote Dorika alizowashonea wakati alipokuwa angali muzima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ