28 kwa sababu alikuwa akijisemesha: “Kama nikiweza tu kugusa nguo ya Yesu nitapona.”
Wakati mwanamuke yule aliposikia habari za Yesu, alikuja na kuingia katikati ya kundi la watu nyuma ya Yesu na kugusa nguo yake,
Alipogusa nguo ya Yesu, mara moja damu yake ikaacha kutoka, naye akajisikia amepona.