Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Wakati mwanamuke yule aliposikia habari za Yesu, alikuja na kuingia katikati ya kundi la watu nyuma ya Yesu na kugusa nguo yake,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:27
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku moja, wakati wa mazishi, watu waliona moja kati ya makundi yale. Wakatupa maiti katika kaburi la Elisha na kukimbia. Mara tu maiti hiyo ilipogusa mifupa ya Elisha, ilifufuka na kusimama wima.


na kumusihi awaruhusu waguse hata upindo wa nguo yake tu. Nao wote waliougusa walipona.


Aliwaendea waganga wengi, lakini ingawa vile aliteswa sana na kupoteza mali yake. Yeye hakuweza kupona, lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya zaidi.


kwa sababu alikuwa akijisemesha: “Kama nikiweza tu kugusa nguo ya Yesu nitapona.”


Na kila pahali Yesu alipokwenda, katika vijiji, miji, au kwenye mbuga, watu waliweka wagonjwa katika viwanja vya makutano na kumusihi awaache wagonjwa waguse hata upindo wa kanzu yake tu. Nao wote waliougusa, walipona.


Na hata watu walitwaa vitambaa na nguo zilizogusa mwili wa Paulo, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakapona na pepo wakatoka ndani yao.


Na kufuatana na mambo yote yaliyotokea, watu waliwapeleka wagonjwa katika barabara, wakiwalalisha juu ya mikeka na vipoyi kusudi Petro atakapopita, kivuli chake kipate tu kufika kwenye wamoja wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ