Marko 5:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
26 Aliwaendea waganga wengi, lakini ingawa vile aliteswa sana na kupoteza mali yake. Yeye hakuweza kupona, lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya zaidi.
Kati yao kulikuwa mwanamuke mumoja mwenye ugonjwa wa kutokwa na damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Alikuwa ametumia mali yake yote kwa kulipa waganga, lakini hakuna hata mumoja wao ambaye aliweza kumuponyesha.