Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Yesu hakumuruhusu, lakini akamwambia: “Kwenda kwako kwenye jamaa yako, na uwaelezee mambo Bwana aliyokutendea na namna alivyokuhurumia.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:19
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Namani alipopata habari hii, akaenda kwa mufalme na kumwelezea habari za mutoto yule.


Enyi munaomwabudu Mungu, mukuje wote musikilize, nami nitawaelezea mambo aliyonitendea.


Basi yule mutu akajiendea, akaanza kutangaza mambo yote Yesu aliyomutendea katika inchi ya Miji Kumi. Na watu wote waliomusikia wakashangaa sana.


“Rudia kwako na ueleze mambo yote Mungu aliyokutendea.” Basi yule mutu akajiendea, na kutangaza fasi zote katika muji wake mambo Yesu aliyomutendea.


“Mukuje mumwone mutu aliyeniambia maneno yote niliyotenda. Huyu si Kristo?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ