Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Yesu alipokuwa akiingia katika chombo, yule aliyekuwa na pepo akamusihi aende pamoja naye.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:18
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nitamurudishia Yawe nini, kwa vyote alivyonitendea?


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Walipomufikia Yesu, wakamwona yule aliyekuwa na kundi la pepo ndani yake akiikaa, akiwa amevaa nguo nayo akili yake ikiwa sawa. Basi watu wale wakaogopa.


Nao walioona yale yaliyotendeka wakawaelezea watu wale mambo yaliyomutokea yule aliyekuwa na pepo na yaliyotokea nguruwe.


Kwa hiyo wakaanza kumusihi Yesu aondoke katika inchi yao.


na kulalamika kwa nguvu, akisema: “Yesu, Mwana wa Mungu Mukubwa, kuna neno kati yako na mimi? Ninakusihi kwa jina la Mungu, usinitese!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ