Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 5:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Akazidi kumusihi Yesu kwamba asiwatoshe wale pepo katika inchi ile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 5:10
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walimu wa Sheria waliotoka Yerusalema, wakasema hivi juu ya Yesu: “Amepatwa na Belzebuli.” Na wengine wao wakasema: “Ni huyo mukubwa wa pepo ndiye anayemupa uwezo wa kufukuza pepo.”


Na pale karibu na mulima kulikuwa kundi kubwa la nguruwe wakijitafutia chakula.


Yesu akawaruhusu. Halafu wale pepo wakatoka ndani ya mutu yule na kuingia ndani ya nguruwe. Kundi zima la nguruwe, karibu elfu mbili, wakatelemuka mbio kwenye mulima na kutumbukia ndani ya ziwa, nao wakazama ndani ya maji.


Basi Yesu akamwuliza: “Jina lako nani?” Naye akamujibu: “Jina langu ni ‘Jeshi’, maana sisi ni wengi.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ