1 Kisha Yesu na wanafunzi wake wakafika kule ngambo ingine ya ziwa la Galilaya katika inchi ya Wagerasi.
Na ilipotimia magaribi siku ile ile, Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Tuvuke ngambo ingine ya ziwa.”
Halafu wakaogopa sana, nao wakaanza kuulizana: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”