Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kisha akawaambia: “Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 4:9
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!


Basi mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Kisha Yesu akaita kundi la watu na kuwaambia: “Musikilize na kuelewa maneno nitakayowaambia.


Wanafunzi kumi na wawili wa Yesu pamoja na watu waliokuwa pembeni yake walipokuwa peke yao, wakamwuliza awaelezee maana ya mifano ile.


“Musikilize! Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Lakini mbegu zingine zikaanguka katika udongo muzuri, mimea ikaota, ikakomaa na kuzaa matunda: zimoja zikazaa punje makumi tatu, zingine makumi sita na zingine punje mia moja.”


Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie.]”


“Basi mufanye angalisho na jinsi munavyosikia maneno. Kwa maana mutu anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine, lakini mutu asiyekuwa na kitu, atanyanganywa kile anachozania kuwa nacho.”


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoambia makanisa! “Yule atakayeshinda hatapatwa na kifo cha pili.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa.”


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ