Yesu akawaambia tena mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate hata yote ikapata kuvimba.”
“Mupandaji mumoja alikwenda kupanda mbegu. Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia. Watu wakazikanyagakanyaga na ndege wakazikula.
Kweli, kweli, ninawaambia: punje ya ngano inabaki peke yake tu, isipokuwa kama yenye kufa na kuzikwa ndani ya udongo. Lakini kama ikiwa yenye kufa, inatoa matunda mengi.