Marko 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Nao udongo muzuri, walimopanda mbegu, ni mufano wa watu wanaosikia Neno la Mungu na kulipokea. Nao wanazaa matunda; wamoja matunda makumi tatu, wengine makumi sita na wengine mia moja.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |