Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 4:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Mupandaji anapanda Neno la Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 4:14
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini heri yenu ninyi: mutapanda mbegu zenu popote penye maji, ngombe na punda wenu watatembeatembea namna wanavyotaka.


Pahali zile mbegu zilipoanguka pembeni ya njia, ni mufano wa watu wanaosikia habari ya Ufalme na kukosa kuielewa. Na kisha yule mwovu Shetani anakuja na kuondoa mbegu zilizopandwa ndani ya mioyo yao.


Halafu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano, akasema: “Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Naye akawajibu: “Yule anayepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Mutu.


Watu wengi wakakusanyika pale mpaka hapakukuwa tena nafasi ndani ya nyumba, hata inje mbele ya mulango. Yesu alipokuwa akiwahubiri Neno la Mungu,


Yesu akaongeza kuwaambia: “Kama musipoelewa mufano huu, namna gani mutaelewa mifano mingine?


Nafasi ile mbegu zilipoanguka pembeni ya njia, ni mufano wa watu wanaosikia Neno la Mungu, lakini mara moja Shetani anakuja na kuondoa lile Neno lililopandwa ndani yao.


“Musikilize! Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


“Basi hii ndiyo maana ya ule mufano wa mupandaji: mbegu ni mufano wa neno la Mungu.


Wale waamini waliosambaa walikwenda popote wakitangaza Habari Njema.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ