13 Yesu akaongeza kuwaambia: “Kama musipoelewa mufano huu, namna gani mutaelewa mifano mingine?
Halafu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano, akasema: “Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.
Mupandaji anapanda Neno la Mungu.
Basi Yesu akawaambia: “Enyi wajinga na wenye mioyo mizito kwa kuamini maneno yote manabii waliyosema!
Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.