Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 3:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Pale pale Wafarisayo wakatoka inje na kwenda kukusanyika na watu wa Herode kusudi wafanye mipango ya kumwua Yesu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 3:6
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wafarisayo wakaondoka pale na kwenda kufanya shauri la kumwua Yesu.


Halafu wakatuma kwake wamoja kati ya wanafunzi wao pamoja na watu wengine wamoja waliojiunga na Herode kumwuliza maneno haya: “Mwalimu, tunajua kuwa wewe ni mutu wa kweli na kwamba unafundisha kwa kweli njia Mungu anayoamuru. Vilevile haushuguliki na mafikiri ya mutu yeyote kwa sababu hauangalii cheo cha mutu.


Wafarisayo wamoja na watu wamoja waliojiunga na Herode walitumwa kwa Yesu kusudi wamunase katika masemi.


Yesu akawaagiza: “Mujiangalie vizuri, mujiepushe na chachu ya Wafarisayo na ya Herode.”


Wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria walitafuta njia ya kumwua Yesu, lakini waliogopa watu.


Lakini wale wakubwa wakakasirika sana, wakaanza kusemezana wao kwa wao juu ya namna watakavyomutendea Yesu.


Basi tangia siku ile wakakusudia kumwua Yesu.


Ni wewe uliyesema maneno haya kwa njia ya Roho Mutakatifu kwa kinywa cha mutumishi wako babu yetu mukubwa Daudi: ‘Kwa nini mataifa wanafanya fujo, na kwa nini watu wanafanya mipango ya ovyo?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ