Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 3:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Yesu aliwaambia vile kwa sababu walisema kwamba yuko na pepo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 3:30
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walimu wa Sheria waliotoka Yerusalema, wakasema hivi juu ya Yesu: “Amepatwa na Belzebuli.” Na wengine wao wakasema: “Ni huyo mukubwa wa pepo ndiye anayemupa uwezo wa kufukuza pepo.”


Lakini mutu anayemutukana Roho Mutakatifu hatasamehewa hata milele, kwa maana zambi ile inadumu kwa milele.”


Mama ya Yesu na wandugu zake wakakuja, wakasimama inje, wakatuma mutu kwenda kumwita.


Wengi kati yao wakasema: “Yuko na pepo! Kweli ni mwenda-wazimu! Sababu gani munamusikiliza?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ