26 Kama Shetani akijigombanisha yeye mwenyewe, na ufalme wake ukigawanyika, uwezo wake hautaendelea, lakini utaanguka.
Lakini Yesu akamwambia: “Toka wewe, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umutumikie yeye peke yake.’ ”
Nao watu wa jamaa moja wakigombana wao kwa wao, jamaa ile haitadumu.