Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 3:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Yakobo na ndugu yake Yoane, wote wawili walikuwa wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa jina la Boanerge, maana yake ngurumo ya radi),

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 3:17
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe anasema: Piga kelele, wala usijizuize; ulalamike kwa sauti kubwa kama baragumu. Uwatangazie watu wangu makosa yao, uwaambie wazao wa Yakobo zambi zao.


Neno langu ni kama moto. –Ni ujumbe wa Yawe!– Neno langu ni kama nyundo inayovunja mawe vipandevipande.


Yesu alipoendelea mbele kidogo, akawaona wandugu wengine wawili, Yakobo na Yoane, waliokuwa wana wa Zebedayo. Walikuwa ndani ya chombo pamoja na baba yao Zebedayo, wakitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita.


Kisha wana wawili wa Zebedayo, Yakobo na Yoane, wakamufikia Yesu na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie jambo tutakalokuomba.”


Kisha akatwaa Petro, Yakobo na Yoane na kwenda nao. Akaanza kuwa na hofu na mahangaiko.


Wale kumi na wawili aliowachagua ni hawa: Simoni (Yesu aliyemupa jina la Petro),


Andrea na Filipo, Bartolomayo, Matayo, Toma, Yakobo mwana wa Alfayo, Tadeo, Simoni wa kundi la Wazeloti


Na Yesu hakuruhusu mutu kumusindikiza, isipokuwa Petro, Yakobo, na Yoane, yule ndugu wa tumbo wa Yakobo.


Nyuma ya siku sita, Yesu aliwatwaa Petro, Yakobo na Yoane, na kuwapeleka kwenye mulima murefu pekee yao. Na kule sura ya Yesu ikageuka mbele yao.


Wanafunzi wake, Yakobo na Yoane walipoona mambo hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuombe moto uwashukie toka mbinguni na kuwateketeza?”


Simoni Petro, Toma (anayeitwa Pacha), Natanaeli (wa muji Kana katika Galilaya), nao wana wa Zebedayo pamoja na wanafunzi wengine wawili wa Yesu, wote walikuwa pamoja.


Katika siku zile mufalme Herode akaanza kutesa watu wamoja wa kanisa.


Kwa maana Neno la Mungu ni lenye uzima, na lina nguvu; ni kali kupita upanga unaokata ngambo mbili. Linapenya hata linatenga moyo na roho na hata viungo na ubongo. Nalo linatambua nia na mawazo ya mutu.


Kisha wakaniambia: “Imekupasa kutoa unabii tena kwa jamaa, kwa mataifa, kwa watu wa kila luga na kwa wafalme wengi.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ