15 na kuwapa uwezo wa kufukuza pepo.
Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.
Akachagua kumi na wawili kati yao, kusudi wakae pamoja naye na apate kuwatuma kwa kuhubiri,
Wale kumi na wawili aliowachagua ni hawa: Simoni (Yesu aliyemupa jina la Petro),