Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 2:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Ni kwa sababu hii, Mwana wa Mutu ndiye Bwana hata wa siku ya Sabato.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 2:28
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa maana Mwana wa Mutu ndiye Bwana wa siku ya Sabato.”


Yesu akaongeza kuwaambia: “Siku ya Sabato iliwekwa kwa ajili ya mafaa ya mutu, lakini mutu hakuumbwa kwa ajili ya siku ya Sabato.


Yesu aliingia tena katika nyumba ya kuabudia. Na mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye mukono unaokauka.


Kisha akawauliza: “Sheria inaturuhusu kufanya mema au kufanya mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?” Lakini wakakaa kimya.


Halafu Yesu akawaambia: “Mwana wa Mutu ndiye Bwana wa siku ya Sabato.”


Lakini Yesu akawajibu: “Baba yangu anatumika wakati wote, nami ninatumika vilevile.”


Na siku ile Yesu alipofanya matope na kuponyesha macho ya mutu yule, ilikuwa siku ya Sabato.


Wafarisayo wamoja wakasema: “Mutu huyu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hashiki sheria ya siku ya Sabato.” Lakini wengine wakasema: “Mutu mwenye zambi anaweza kuonyesha kitambulisho kama hiki?” Basi kukatokea mikorogano kati yao.


Mungu amemupatia Kristo mamlaka juu ya vitu vyote na kumuweka kuwa kichwa cha kanisa.


Siku moja ya kumwabudu Bwana, nikashikwa na Roho wa Mungu, nikasikia sauti kubwa, inayolia kama baragumu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ