Marko 2:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Si aliingia ndani ya nyumba ya Mungu na kula mikate mitakatifu iliyotolewa kwa Mungu? Jambo hili lilifanyika wakati Abiatari alipokuwa Kuhani Mukubwa. Ni makuhani tu walioruhusiwa kula mikate ile, lakini Daudi alikula na kuwapa watu wake vilevile.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |