Marko 2:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Wanafunzi wa Yoane Mubatizaji na Wafarisayo walikuwa wakifunga kula chakula. Hivi watu wakakuja kumwuliza Yesu: “Sababu gani wanafunzi wa Yoane Mubatizaji na wanafunzi wa Wafarisayo wanafunga kula chakula, lakini wanafunzi wako hawafungi?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |