Marko 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Na wakati walimu wa Sheria wa kikundi cha Wafarisayo walipomwona Yesu akikula pamoja na watu wale, wakawauliza wanafunzi wake: “Kwa sababu gani anakula pamoja na walipishaji wa kodi na watenda mabaya?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |