Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 2:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Yesu akaenda tena pembeni ya ziwa la Galilaya. Kundi kubwa la watu wakamufikia, naye akawafundisha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 2:13
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku ile ile, Yesu akatoka ndani ya nyumba na kwenda kuikaa pembeni ya ziwa kwa kufundisha.


Yesu alipokuwa akipita, akamwona mutu anayeitwa Matayo, akiikaa katika nyumba ya kulipishia kodi. Yesu akamwambia: “Unifuate!” Naye akasimama na kumufuata.


Lakini mutu yule alipoenda, akaanza kutangaza habari zile fasi zote. Na kwa sababu hii Yesu hakuweza kuingia tena waziwazi katika muji wowote, lakini alibaki mbali nayo pahali penye ukiwa. Na watu walimufikia kule kutoka pande zote.


Yesu akaondoka kule, akaenda katika jimbo la Yudea na kuvuka ngambo ingine ya Yordani. Na makundi mengi ya watu wakakusanyika tena mbele yake, naye akaanza kuwafundisha, kama vile alivyozoea kufanya.


Watu wengi wakakusanyika pale mpaka hapakukuwa tena nafasi ndani ya nyumba, hata inje mbele ya mulango. Yesu alipokuwa akiwahubiri Neno la Mungu,


Yesu alianza kufundisha tena pembeni ya ziwa la Galilaya. Kundi kubwa la watu walikusanyika karibu naye, kwa hiyo akaingia ndani ya chombo na kuikaa mule. Chombo kilikuwa katika ziwa na watu walisimama inchi kavu, pembeni ya ziwa.


Lakini hawakupata namna ya kumwua, kwa sababu watu wote walimusikiliza kwa uangalifu.


Watu wote walikuwa wakimufikia asubui mapema katika hekalu, kusudi wamusikilize.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ