Marko 16:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Nao wanafunzi wakaenda kuhubiri fasi zote. Bwana akatumika pamoja nao na kuhakikisha ukweli wa mahubiri yao kwa njia ya vitambulisho walivyofanya.] အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Muheshimiwa Teofilo: Watu wengi wamejaribu kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka katikati yetu. Wameyaandika sawa vile tulivyoelezwa na wale walioona mambo yale tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe ule. Inafaa nami vilevile kisha kuchunguza kwa uangalifu mambo yote tangu mwanzo, nikuandikie kwa utaratibu,