Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 16:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Na waliposikia jinsi Maria alivyowaambia kwamba Yesu ni muzima, na kwamba amemwona, hawakumusadikia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 16:11
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata kama ningemwita naye akijibu, nisingeweza kuamini kwamba ananisikiliza.


Musa akawaelezea Waisraeli maneno hayo. Lakini wao hawakumusikiliza kwa sababu walikuwa wamekufa moyo kutokana na utumwa mukali.


Wakati walipomwona, wakamwabudu, lakini wamoja kati yao wakaona shaka.


Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Ee ninyi watu wa kizazi kisichoamini Mungu! Nitakaa pamoja nanyi tena mpaka wakati gani? Nitawavumilia tena mpaka wakati gani? Muniletee mutoto hapa.”


Lakini mitume hawakusadiki maneno ya wale wanawake, waliwaza kwamba ni ya bure.


Nao walipokuwa hawajasadiki bado kwa sababu ya furaha na mushangao, akawauliza: “Muko na chakula chochote hapa?”


Wanafunzi wengine wakamwambia: “Tumemwona Bwana.” Lakini Toma akawajibu: “Nisipoona alama za misumari katika mikono yake na kutia kidole changu katika kovu za misumari ile, nami nisipoingiza vidole vyangu ndani ya ubavu wake, sitaamini.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ