9 Pilato akawajibu, akiwauliza: “Munataka niwafungulie ‘Mufalme wa Wayuda?’ ”
Alisema vile kwa maana alitambua kwamba wakubwa wa makuhani wamemutoa Yesu kwa sababu walimwonea wivu tu.
Watu wakamwendea Pilato, wakaanza kumwomba awatendee kama ilivyokuwa desturi yake.
Lakini kufuatana na desturi yenu, ninazoea kuwafungulia mufungwa mumoja wakati wa sikukuu ya Pasaka. Basi munataka niwafungulie mufalme wa Wayuda?”