7 Kulikuwa mufungwa mumoja, jina lake Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi wamoja kwa sababu ya uuaji na uasi walioufanya.
Na katika siku zile kulikuwa mufungwa mumoja aliyejulikana sana, jina lake Baraba.
Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alizoea kuwafungulia watu mufungwa mumoja, yule waliyemutaka.
Watu wakamwendea Pilato, wakaanza kumwomba awatendee kama ilivyokuwa desturi yake.
Akamufungua yule mutu waliyetaka, aliyefungwa kwa ajili ya kuleta fujo na kuua watu, na kumutoa Yesu kwao kusudi wamutendee vile walivyotaka.