Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 15:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Na mumoja wao akaenda mbio, akachovya kikausho ndani ya divai yenye kuchacha na kukifungia juu ya tete. Kisha akakipandishia Yesu, kusudi apate kunywa, akisema: “Mwache tuone kama Elia atakuja kumushusha juu ya musalaba.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 15:36
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Matusi yamevunja moyo wangu, nami nimekata tamaa. Nimetafuta kitulizo lakini sikupata, nimetafuta wa kunifariji lakini sikumupata.


Mara moja, mumoja wao akaenda mbio akatwaa kikausho, akakichovya ndani ya divai yenye kuchacha. Akakifungia juu ya tete, akakipandishia Yesu, kusudi apate kunywa.


Wakamupa divai iliyochanganywa na manemane, lakini akaikataa.


Na watu wamoja waliokuwa pale walipomusikia, wakasema: “Musikilize, anamwita Elia.”


Lakini Yesu akalalamika kwa sauti kubwa, akakata roho.


Waaskari vilevile walimuzarau, wakamupelekea divai yenye kuchacha


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ