Marko 15:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200236 Na mumoja wao akaenda mbio, akachovya kikausho ndani ya divai yenye kuchacha na kukifungia juu ya tete. Kisha akakipandishia Yesu, kusudi apate kunywa, akisema: “Mwache tuone kama Elia atakuja kumushusha juu ya musalaba.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |