Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 15:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nao wakubwa wa makuhani wakamushitaki Yesu juu ya mambo mengi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 15:3
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mimi nimekuwa kama kiziwi, sisikii; nimekuwa kama bubu asiyeweza kusema kitu.


Alionewa na kuteswa, lakini alivumilia kwa unyenyekevu, bila kutoa sauti hata kidogo. Alikuwa kama mwana-kondoo anayepelekwa kwenda kuchinjwa, kama kondoo anavyokaa kimya anapokatwa manyoya. Hakutoa sauti hata kidogo.


Na kisha wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakamushitaki,


Pilato akamwuliza Yesu: “Wewe ni Mufalme wa Wayuda?” Yesu akamujibu: “Umesema.”


Basi Pilato akamwuliza tena: “Wewe haujibu hata neno? Angalia mambo haya yote wanayokushitakia!”


Lakini Yesu hakujibu neno lolote tena, hata Pilato akashangaa.


Tokea saa ile Pilato alitafuta njia ya kumufungua Yesu. Lakini Wayuda wakapiga kelele, wakisema: “Ukimufungua mutu huyu, wewe si rafiki wa Mufalme wa Roma. Kila mutu anayejifanya kuwa mufalme, anamupinga Mufalme wa Roma!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ