25 Ilikuwa saa tatu ya asubui wakati walipomutundika juu ya musalaba.
Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
Ilikuwa karibu na saa sita ya muchana, jua likafifia, kukakuwa giza katika inchi yote mpaka saa tisa. Pazia la hekalu likapasuka katikati.
Siku ile ilikuwa siku ya matayarisho ya Pasaka, karibu na saa sita. Pilato akawaambia Wayuda: “Mufalme wenu huyu!”
Watu hawa si walevi kama munavyozani, kwa sababu ingali tu saa tatu ya asubui.