2 Pilato akamwuliza Yesu: “Wewe ni Mufalme wa Wayuda?” Yesu akamujibu: “Umesema.”
Nao wakauliza: “Yuko wapi yule mutoto aliyezaliwa kuwa mufalme wa Wayuda? Tumeona nyota yake inayomutambulisha, nasi tumekuja kumwabudu.”
Pilato akawauliza watu tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu munayemwita Mufalme wa Wayuda?”
Kisha wakaanza kumusalimia, wakisema: “Jambo, Mufalme wa Wayuda!”
Na tangazo hili liliandikwa kwa kuonyesha sababu ya kuhukumiwa kwake. “Mufalme wa Wayuda.”
Nao wakubwa wa makuhani wakamushitaki Yesu juu ya mambo mengi.
Pilato akawajibu, akiwauliza: “Munataka niwafungulie ‘Mufalme wa Wayuda?’ ”
Mbele ya Mungu anayevipatia vitu vyote uzima, na mbele ya Kristo Yesu aliyetoa ushuhuda wa kweli mbele ya Pontio Pilato, ninakuagiza maneno haya: