13 Wakapiga kelele tena wakisema: “Atundikwe juu ya musalaba!”
Pilato akawauliza watu tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu munayemwita Mufalme wa Wayuda?”
Pilato akawauliza: “Alifanya ubaya gani?” Lakini wakazidi kupiga kelele wakisema: “Atundikwe juu ya musalaba!”
Lakini wakapiga tena kelele, wakisema: “Umutundike juu ya musalaba! Umutundike juu ya musalaba!”
Ijapokuwa hawakupata sababu ya kumuhukumu kufa, wakamwomba Pilato awape ruhusa ya kumwua.