11 Lakini wakubwa wa makuhani wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.
Musikilize, enyi makuhani! Mutege sikio, enyi Waisraeli! Musikilize, enyi ukoo wa kifalme! Ninyi mulipaswa kulinda haki, pahali pake mumekuwa kama mutego kule Misipa, mumekuwa kama wavu wa kuwanasa kule Tabori.
Lakini wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakawashawishi wale waliokusanyika kwamba waombe Baraba afunguliwe, naye Yesu auawe.
Alisema vile kwa maana alitambua kwamba wakubwa wa makuhani wamemutoa Yesu kwa sababu walimwonea wivu tu.
Pilato akawauliza watu tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu munayemwita Mufalme wa Wayuda?”
Halafu wakalalamika kwa nguvu: “Hatutaki mutu huyu! Tunataka utufungulie Baraba!” (Yule Baraba alikuwa munyanganyi.)
Yeye alikuwa Mutakatifu na Mwenye Haki, lakini mukamukana, mukataka Pilato awafungulie mwuaji.