9 Kweli ninawaambia: kwa ajili ya kukumbuka mwanamuke huyu, tendo lile alilofanya litaelezwa popote Habari Njema itakapohubiriwa katika dunia nzima.”
Taji hiyo italindwa katika hekalu la Yawe kwa heshima ya Heldai, Tobia, Yedaya na Yosia mwana wa Zefania.
Basi, Musa na kuhani Eleazari wakapokea zahabu hiyo kutoka kwa majemadari wakaipeleka katika hema la mukutano, ikuwe ukumbusho wa Waisraeli mbele ya Yawe.
Na hii Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa katika dunia nzima kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; na halafu mwisho wa dunia utatimia.
“Nafasi yoyote kunapokuwa muzoga, ndipo tai wanapokusanyika.
Kisha akawaambia: “Mwende katika dunia yote na kuhubiri Habari Njema kwa kila mutu.