52 lakini akaachilia shuka ile na kukimbia uchi.
Basi, muke wa Potifari akamushika nguo yake na kumwambia: “Lala na mimi!” Lakini Yosefu akamwachia nguo yake katika mikono yake, akakimbilia inje.
Shetani akamujibu Yawe: “Ngozi kwa ngozi! Mutu anatoa kila kitu anachokuwa nacho kusudi aokoe maisha yake.
Lakini kijana mumoja aliyevaa shuka akaendelea kumufuata Yesu. Walijaribu kumukamata,
Wakamupeleka Yesu mbele ya Kuhani Mukubwa, nao wakubwa wote wa makuhani, na wasimamizi wa watu pamoja na walimu wa Sheria wakakusanyika pale.