51 Lakini kijana mumoja aliyevaa shuka akaendelea kumufuata Yesu. Walijaribu kumukamata,
Basi, muke wa Potifari akamushika nguo yake na kumwambia: “Lala na mimi!” Lakini Yosefu akamwachia nguo yake katika mikono yake, akakimbilia inje.
Wanafunzi wake wote wakamwacha na kukimbia.
lakini akaachilia shuka ile na kukimbia uchi.
Samusoni akawaambia: “Nitatega kitendawili. Kama mukiweza kutegua kitendawili hicho kwa muda wa siku saba za sherehe za arusi, basi, nitawapa nguo makumi tatu za kitani na nguo makumi tatu za sikukuu.