Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 14:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Na wamoja kati ya watu waliokuwa pale wakachukizwa na kitendo kile na kusemezana: “Kwa nini kupoteza mali namna hii?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 14:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tena nilitambua kwamba mutu anatoa jasho na kutumia ujuzi wake juu ya wivu tu kwa mwenzake. Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.


Wanafunzi wengine kumi waliposikia maneno yale, wakachukizwa na wale wandugu wawili.


Yesu alikuwa Betania katika nyumba ya mutu aliyeitwa Simoni Mukoma. Walipokuwa wakikula, mwanamuke mumoja akaingia ndani ya nyumba. Alikuwa na chupa la jiwe lenye marasi ya bei kali yaliyotengenezwa na maua ya nardo safi. Kisha akavunja mudomo wa lile chupa na kumimia marasi juu ya kichwa cha Yesu.


Marasi hii ingeweza kuuzishwa kwa bei ya vikoroti mia tatu vya feza na kugawanyia wamasikini mali ile.” Na wakamukasirikia yule mwanamuke vikali.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ