Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 14:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Yesu alikuwa Betania katika nyumba ya mutu aliyeitwa Simoni Mukoma. Walipokuwa wakikula, mwanamuke mumoja akaingia ndani ya nyumba. Alikuwa na chupa la jiwe lenye marasi ya bei kali yaliyotengenezwa na maua ya nardo safi. Kisha akavunja mudomo wa lile chupa na kumimia marasi juu ya kichwa cha Yesu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 14:3
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme alipokuwa akiikaa kwenye meza yake, marasi yangu ya nardo yalisambaa kila pahali.


Nikasimama kwa kumufungulia mupenzi wangu. Mikono yangu ikajaa manemane, na vidole vyangu vikadondosha manemane, nikashika kifungio kwa kufungua mulango.


Kisha akawaacha, akatoka inje ya muji wa Yerusalema, naye akaenda Betania na kulala kule.


Na yule aliyepata furushi mbili akafaidia zingine mbili.


Kwa maana walijisemesha: “Tusimukamate kwa wakati wa karamu, kusudi fujo isitokee kati ya watu.”


Na wamoja kati ya watu waliokuwa pale wakachukizwa na kitendo kile na kusemezana: “Kwa nini kupoteza mali namna hii?


(Huyu Maria ndiye yule aliyemupakaa Bwana marasi na kupanguza miguu yake na nywele zake, na ni Lazaro kaka yake ndiye alikuwa mugonjwa.)


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ