10 Yuda Iskariota, mumoja wa wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa wakubwa wa makuhani, kusudi amutoe Yesu kwao.
Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”
Simoni wa kundi la Wazeloti, na Yuda Iskariota aliyemutoa Yesu.
Waliposikia habari ile wakafurahi sana, nao wakamwahidia kumupa feza. Basi Yuda akaanza kutafuta wakati muzuri kwa kumutoa.
na Yuda Iskariota, yule aliyemutoa Yesu.
Wakati Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakikula chakula cha magaribi, Shetani alikuwa amekwisha kumushawishi Yuda mwana wa Simoni Iskariota kwamba amutoe Yesu.
Wakati Yuda alipokwisha kukamata kile kipande cha mukate, mara moja akatoka inje. Usiku ulikuwa umeingia.