Marko 14:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kulikuwa kumebaki siku mbili mbele ya kutimia kwa sikukuu ya Pasaka na ya Mukate Usiyotiwa Chachu. Wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria walitafuta njia ya kumukamata Yesu kwa werevu kusudi wamwue. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |