Marko 13:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
3 Yesu alipokuwa akiikaa kwa mulima wa Mizeituni kuelekea upande wa hekalu, Petro, Yakobo, Yoane na Andrea walipokuwa peke yao pamoja naye, wakamwuliza:
Halafu Yesu akaagana na makundi ya watu na kurudi kwenye nyumba. Wanafunzi wake wakamwendea na kumwambia: “Utufasirie maana ya ule mufano wa nyasi katika shamba.”
Yesu na wanafunzi wake wakakaribia kufika Yerusalema upande wa kijiji cha Betefage, karibu na mulima wa Mizeituni. Yesu akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake,
Basi Yesu alipokuwa akiikaa kwa mulima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea peke yao na kumwuliza: “Utuambie, mambo hayo uliyotoka kusema yatakuwa wakati gani? Na kitambulisho cha kurudi kwako nao wakati wa mwisho wa dunia ni nini?”